Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangala (wa pili kulia) akiwa ameambatana pamoja na wakimbiaji wengine wakati wakihitimisha mbio za 21 KM katika Bagamoyo Historical Marathon, iliyofanyima mapema leo, Bagamoyo Mkoani Pwani. Dk. Kigwangala ndiye alikuwa Mgeni rasmi katika mashindano hayo.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangala akipongeza na baadhi ya washiriki wenzake baada ya kumaliza mbio za 21 KM katika Bagamoyo Historical Marathon, iliyofanyima mapema leo, Bagamoyo Mkoani Pwani.
 Baadhi ya Washiriki wa mbio za Kilometa 21 katika Bagamoyo Historical Marathon wakianza kuondoka katika uwanja wa Shule ya Bagamoyo.
 Mdau Godwin Semunyu wa Benki ya CRDB akiwa na mmoja wa washiriki wenzake katika Bagamoyo Historical Marathon, iliyofanyima mapema leo, Bagamoyo Mkoani Pwani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...