Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akipokea fulana yenye ujumbe wa kuhamasisha juhudi za usalama barabarani kutoka kwa Mwenyekiti wa Mabalozi wa Usalama barabarani (RSA) Bw. John Seka wakati alipofika kujitambulisha ofisini kwake Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam akiwa na Viongozi wengine wa RSA. (Picha na Jeshi la Polisi )

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...