Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua shamba la  kahawa bora iliyopandwa na Familia ya Bibi Victoria Riwa (watano kulia) katika kijiji cha Nyarubanda mkoani Kigoma Julai 30, 2018. Wapili kulia ni Mtoto wa familia hiyo, Gerlad Riwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na familia ya Bibi Victoria Riwa ( kulia) wa kijiji cha Nyarubanda  mkoani Kigoma wakati alipotembelea shamba  la familia hiyo  linalopandwa miche ya kahawa bora na kufurahishwa na mipango mizuri ya kilimo inayofanywa na familia hiyo.   Kushoto ni Lilian Riwa na wapili kushoto ni  Gerlad Riwa, wote wakiwa ni watoto wa familia hiyo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...