Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimsikiliza Kaimu meneja Uhusiano na Masoko wa Shirika la Hifadhi za Jamii (NSSF) Salim Khalfan wakati akimpa maelezo alipotembelea kwenye banda la shirika hilo katika maonesho ya Sabasaba yaliyomalizika na kufungwa leo kwenye viwanja vya (TanTrade) Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo katikati ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara ya Nje (TanTrade) Bw. Edwin Rutageruka na kulia ni Afsa Uhusiano na masoko Bi Angela Michael.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa (NSSF) mara baada ya kuwasili katika banda hilo leo kwa lengo la kulitembelea.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Afisa Uhusiano wa (NSSF) Bi Angela Michael wakati alipowasili katika banda hilo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Uhusiano na Masoko wa (NSSF) Bi. Angella Michael baada ya kutembelea katika banda hilo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa (NSSF) mara baada ya kutembelea banda hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...