Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akimkabidhi mfano wa tiketi ya mechi za Kombe la Dunia, Mshindi wa 11 wa droo ya Shinda na TemboCardVisa, David Hughes ambaye atasafiki kuelekea nchini Urusi kushuhudia moja ya mechi za robo fainali ya Mashindano ya Kombe la Dunia 2018. makabidhiano hayo yamefanyika leo makao makuu ya Benki ya CRDB, jijini Dar es salaam.
Mshindi wa 11 wa droo ya Shinda na TemboCardVisa, David Hughes akizungumza jambo wakati akiishukuru Benki ya CRDB kwa kuendesha droo hiyo iliyompatia ushindi wa kwenda kushuhudia moja ya mechi za Kombe la Dunia nchini Urusi.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...