Kaimu
meneja wa Uhusiano na Masoko,Salim Khalfan akitoa ufafanuzi wa huduma
zinazopatikana ndani ya NSSF kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi Tanzania Bara, Philip Mangula alipotembelea banda la Shirika
la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF leo asubuhi kwenye maonesho ya
biashara ya 42 ya kimataifa yanayoendelea jijini Dar es salam,Ndugu
Mangula pia alipata fursa ya kujionea shughuli mbalimbali zitolewazo na
Shirika hilo,Pichani kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Professa Godius
Kahyarara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...