Kaimu meneja wa Uhusiano na Masoko,Salim Khalfan akitoa ufafanuzi wa huduma zinazopatikana ndani ya NSSF kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Tanzania Bara, Philip Mangula alipotembelea banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF leo asubuhi kwenye maonesho ya biashara ya 42 ya kimataifa yanayoendelea jijini Dar es salam,Ndugu Mangula pia alipata fursa ya kujionea shughuli mbalimbali zitolewazo na Shirika hilo,Pichani kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Professa Godius Kahyarara

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...