Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage akifafanua jambo kwa viongozi wa vyama vya siasa nchini (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Ubunge na Madiwani utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu, Semistocles Kaijage (hayupo pichani) kuhusu maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Ubunge na Madiwani utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu.
Baadhi ya watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu, Semistocles Kaijage (hayupo pichani) kuhusu maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Ubunge na Madiwani utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Athumani Kihamia akifafanua jambo kwa viongozi wa vyama vya siasa nchini na watendaji wa Tume hiyo kuhusu maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Ubunge na Madiwani utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu, Semistocles Kaijage (mwenye tai
nyeupe) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa tume hiyo pamoja na baadhi ya viongozi wa
vyama vya siasa mara baada ya kueleza taarifa kuhusu maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Ubunge na
Madiwani utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu.
Picha na MAELEZO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...