Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe akisalimiana na Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania, Bw. Song Geum-young wakati alipokutana nae katika ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe akifafanua jambo kwa ujumbe kutoka Ubalozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania na wawakilishi kutoka Wizarani kwake wakati alipokutana nao katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam leo.
Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania, Bw. Song Geum-young akizungumza na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe wakati alipokutana nae katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe akiagana na Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania, Bw. Song Geum-young baada ya mazungumzo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...