Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akiongozana na Naibu Waziri Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde
(kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha,
Mrisho Gambo (wapili kulia), kutembelea eneo la Kaloleni zilipo nyumba za
polisi, jijini Arusha.Kushoto ni mmoja wa wadau waliojitolea kujenga nyumba
hizo,Hans Pol.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Arusha, Ramadhani Ng’anzi (kulia) baada ya kutoka kutembelea
Kituo cha Polisi Utalii.Wapili kulia ni
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Arusha, Ramadhani Ng’anzi (kulia) baada ya kutoka kutembelea
Kituo cha Polisi Utalii.Wapili kulia ni
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na mdau wa maendeleo mjini
Arusha,Hans Pol.Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo.Waziri Lugola yupo
mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
Naibu Waziri Kazi, Vijana na Ajira,
Anthony Mavunde (kushoto) na Mkuu wa
Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (kulia),wakisikiliza taarifa ya Kituo cha Polisi
Utalii baada ya viongozi hao kutembelea kituo hicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...