Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akiongozana na Naibu Waziri  Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde (kulia) na  Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (wapili kulia), kutembelea eneo la Kaloleni zilipo nyumba za polisi, jijini Arusha.Kushoto ni mmoja wa wadau waliojitolea kujenga nyumba hizo,Hans Pol.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Waziri  wa Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi,  Kangi Lugola (wapili kushoto),  akimsikiliza Kamanda wa  Polisi  Mkoa  wa  Arusha, Ramadhani  Ng’anzi (kulia) baada ya kutoka kutembelea Kituo cha Polisi Utalii.Wapili  kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

 Waziri  wa Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi,  Kangi Lugola (wapili kushoto),  akimsikiliza Kamanda wa  Polisi  Mkoa  wa  Arusha, Ramadhani  Ng’anzi (kulia) baada ya kutoka kutembelea Kituo cha Polisi Utalii.Wapili  kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na mdau wa maendeleo mjini Arusha,Hans Pol.Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo.Waziri Lugola yupo mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, Naibu Waziri  Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde (kushoto)  na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (kulia),wakisikiliza taarifa ya Kituo cha Polisi Utalii baada ya viongozi hao kutembelea kituo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...