Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo, akizungumza na waandishi wa habari, wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya kiutendaji wa shirika hilo, kwa mwaka 2017\2018, jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Postamasta Mkuu wa shirika, Hassan Mwang'ombe. 
Baadhi ya viongozi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), wakiwa katika mkutano huo, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi, Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo, alipokuwa akitoa taarifa ya mafaniko ya kiutendaji wa shirika kwa mwaka 2017/2018, jijini Dar es Salaam leo. 
Baadhi ya viongozi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi, Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo, alipokuwa akitoa taarifa hiyo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo, akizungumza na waandishi wa habari, wakati akitoa taarifa hiyo, ya mafanikio ya kiutendaji wa shirika hilo, kwa mwaka 2017\2018, jijini Dar es Salaam leo.  
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Haruni Kondo, akijibu baadhi ya maswali ya waandishi wa habari, katika mkutano huo, wa kutoa taarifa ya mafanikio ya kiutendaji wa shirika hilo, kwa mwaka 2017\2018, jijini Dar es Salaam leo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...