Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (kulia) akipokelewa na mwenyeji wake Mkurugenzi Mkuuwa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO), Cyprian Luhemeja wakati Waziri huyo alipotembea shirika hilo mara baada ya kuteuliwa kuwa Waziri wa wizara hiyo.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (kulia) akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO) wakati alipotembelea shirika hilo jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO) wakimsikiliza Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (hayupo pichani) wakati waziri huyo alipotembelea shirika hilo jana jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuuwa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO), Cyprian Luhemeja akitoa taarifa ya shirika hilo kwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (hayupo pichani) wakati waziri huyo alipotembelea shirika hilo jana jijini Dar es Salaam. Picha na MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...