Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akisalimiana na Ndg. David Mollel mume wa Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA) Mhe. Ruth Mollel alipokwenda kumjulia hali katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Kushoto ni Mhe. Ruth Mollel.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai ( wa pili kushoto) akimsikiliza Ndg. David Mollel (wa kwanza kulia) mume wa Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA) Mhe. Ruth Mollel alipokwenda kumjulia hali katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) . Wengine katika picha ni Katibu wa Bunge Ndg Stephen Kagaigai (wa pili kulia) na Mhe Ruth Mollel (wa kwanza kushoto).
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Prof Mohamed Janabi alipokutana naye hospitali hapo. Kulia ni Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Prof Mohamed Janabi alipokutana naye hospitali hapo.PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...