Mwanamuziki solo ama anayetumbuiza akiwa peke yake Omary Mkali akitumbuiza kwenye hafla iliyoandaliwa na Ofisi ya Hazina ya Rais John Pombe Magufuli kupokea gawio kutoka kwa wakala, taasisi, mashirika na makampuni ya umma katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam Jumatatu Julai 23, 2018
Home
Unlabelled
Mwanamuziki solo Omary Mkali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...