Marehemu, aliyekuwa na miaka 80 aliaga dunia Jumapili, tarehe 1 Julai, 2018 nyumbani kwake akiwa amezungukwa na watoto na wote waliompenda.

Mazishi ya marehemu yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 7 Julai, 2018.
Anuani: Montclair-Lucania Funeral Home,
6901 W. Belmont Ave
Chicago IL, 60634
Muda ni saa 9 jioni, na kufuatiwa na sala saa 11 jioni. Wote mnakaribishwa.
Bwana alitoa, na Bwana ametwaa.
Jina la Bwana na lihimidiww
AMINA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...