Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimsalimia Binti Wakonta Kapunda ambaye ni mlemavu wa kupooza mwili mzima kutokana na ajali aliyejishidia kiasi cha Dola elfu 20 kwa kutoa wazo zuri la kibiashara. Hii ilikuwa ni wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu cha maisha ya Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Abraham Mengi  ukumbi wa hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Jumatatu Julai 2, 2018  ambapo Rais Magufuli amemuongezea binti hiyo kiasi cha Shilingi Milioni 10. Fuatilia mkasa wake katika Hadubini ya TBC katika hii video hapo chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...