Mwenyekiti wa Chama cha Askari Polisi Wastafu(TAPOA) Kamishna mstaafu Suleiman Kova akizungumza katika ufunguzi wa semina ya wastaafu hao ambapo walipatiwa elimu ya kupata mikopo ya kustaafu na benki ya Azania.
Meneja wa huduma za mikopo kutoka benki ya Azania Thobias Samwel akizungumza na wanachama wa Chama cha Askari Polisi Wastafu(TAPOA) wakati wa semina maalum ya kuwapatia elimu ya kupata mikopo ya kustaafu.
Wanachama wa Chama cha Askari Polisi Wastafu(TAPOA) wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa semina maalum ya kuwapatia elimu ya kupata mikopo ya kustaafu iliyotolewa na benki ya Azania wakati wa kikao chao jijini Dar es Salaam.(Picha na Jeshi la Polisi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...