Gari la halmashauri ya Meatu limepata ajali eneo la mkiwa Ikungi likitokea Dodoma lilikuwa na madiwani na mkurugenzi wa halmashauri ya Meatu, inadaiwa kuwa ndani ya gari hiyo kulikuwa na watu 8 watu wawili wamefariki dunia ila bado haithibitishwa majina yao. Globu ya jamii inaendelea kufuatilia tukio hilo na tutaendelea kuwajuza kadri taarifa zitakavyotufikia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...