Gari la halmashauri ya Meatu limepata ajali eneo la mkiwa Ikungi likitokea Dodoma lilikuwa na madiwani na mkurugenzi wa halmashauri ya Meatu, inadaiwa kuwa ndani ya gari hiyo kulikuwa na watu 8 watu wawili wamefariki dunia ila bado haithibitishwa majina yao. Globu ya jamii inaendelea kufuatilia tukio hilo na tutaendelea kuwajuza kadri taarifa zitakavyotufikia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...