tsn1
Dk.Hezron Kiwale Kaimu Mganga Mfawidhi Hospitali ya Mwananyamala akipokea Mashine mpya ya kufulia nguo na vifaa tiba mbalimbali vilivyotolewa na Benki ya Accsess kutoka kwa Sijaona Simon Afisa Masoko Mwandamizi wa benki hiyo katika hospitali hiyo leo, Vifaa tiba hivyo vina thamani ya shilingi milioni 3 za kitanzania.
tsn2
Dk.Hezron Kiwale Kaimu Mganga Mfawidhi Hospitali ya Mwananyamala na Sijaona Simon Afisa Masoko Mwandamizi wa benki ya Accsess wakiangalia mashine ya kufulia iliyotolewa na Benki ya Accsess hospitalini hapo.
tsn3
Sijaona Simon Afisa Masoko Mwandamizi wa benkiya Accsess akimkabidhi Sister Dolla Macha Muuguzi Kiongozi wa Chumba cha Upasuaji hospitali ya Mwananyamala moja ya mashuka yaliyotolewa na benki hiyo kwa hiyo kulia ni Dk.Hezron Kiwale Kaimu Mganga Mfawidhi Hospitali ya Mwananyamala.
tsn4
Dk.Hezron Kiwale Kaimu Mganga Mfawidhi Hospitali ya Mwananyamala akishukuru benki ya Access baada ya kupokea msaada huo wengine ni wauguzi wa hospitali hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...