Mabingwa wa Mashindano ya Mpira wa Miguu yanayoandaliwa na CLOUDS MEDIA GROUP,ambayo ni NDONDO CUP. Leo 20August 2018 wamefika Ofisini kwa Mstahiki Meya Boniface Jacob na kulikabidhi kombe hilo kama ishara ya Shukrani kwa Uongozi wa Manispaa ya Ubungo na Mshikamano na wanamichezo. Mstahiki Meya amehaidi ushirikiano wanamichezo wote wa Ubungo watakao kuwa wanaiwakilisha manispaa kwenye michuano mbalimbali.
Picha ya pamoja baada ya meya wa ubungo kupokea kombe.
Picha ya pamoja baada ya meya wa ubungo kupokea kombe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...