Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipofuatana na mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu cha Udayana Prof.Dr.Ida Bagus Wyasa Putra alipotembelea Chuoni hapo baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Chuo hicho kiliopo Jambaran Bali (TBC) alipokuwa katika ziara ya kikazi Nchini Indonesia kwa mualiko wa Makamo wa Rais wa Nchi hiyo Mohamed Jusuf Kalla,{Picha na Ikulu.] 03/08/2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akivalisha Shada la mauwa wakati wa mapokezi na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Udayana Prof.Dr.Ida Bagus Wyasa Putra katika Mji wa Bali Nchini Indonesia alipotembela Chuoni hapo akiwa na ujumbe wake katika ziara ya kikazi Nchini Indonesia kwa mualiko wa Makamo wa Rais wa Nchi hiyo Mohamed Jusuf Kalla,{Picha na Ikulu.] 03/08/2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akimuuliza suala Mkuu wa Chuo Kikuu cha Udayana Prof.Dr.Ida Bagus Wyasa Putra wakati wa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Chuo hicho kiliopo Jambaran Bali (TBC) alipokuwa katika ziara ya kikazi Nchini Indonesia kwa mualiko wa Makamo wa Rais wa Nchi hiyo Mohamed Jusuf Kalla,{Picha na Ikulu.] 03/08/2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Viongozi,Wahadhiri na Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Udayana kiliopo Jambaran Bali (TBC)alipotembelea Chuoni hapo akiwa na Ujumbe wake katika ziara ya kikazi Nchini Indonesia kwa mualiko wa Makamo wa Rais wa Nchi hiyo Mohamed Jusuf Kalla,{Picha na Ikulu.] 03/08/2018.
Share

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...