Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) akiangalia mwani uliosarifiwa ambao unaendelea na
unaendelea kutengenezwa bidhaa mbali mbali ulioshikwa na Mkurugenzi
Mkuu wa Kiwanda cha Mwani cha PT Aga Swallow Hendrico Soewardjono
wakati alipotembelea leo akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa
Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiangalia mwani uliosarifiwa ambao unaendelea na unaendelea kutengenezwa bidhaa mbali mbali ulioshikwa na Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mwani cha PT Aga Swallow Hendrico Soewardjono wakati alipotembelea leo akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) na ujumbe wake wakiangalia unga wa mwani uliosarifiwa baada ya maandalizi ambao tayari kwa kuuzwa kwa matumizi ya mabo mbali mbali katika Nchi nyingi Duniani Rais alijionea wakati akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla,(wa pilikushoto)Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mwani cha PT Aga Swallow Hendrico Soewardjono,
Baadhi ya mashine katika kiwanda cha mwani ambazo hupelekea kuusarifu mwani katika mambo mbali mbali ambayo huwapatia mapato wenyekiwanda hicho kiliopo nje ya Mji wa Jakarta Indonesia ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo alitembelea na ujumbe wake akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa nchini hiyo Dkt.Mohamed Jusuf Kalla

Marobota ya Mwani yakiwa katika kiwanda cha mwani cha PT Aga Swallow ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake walitembelea sehemu hii akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla

Baadhi ya mashine katika kiwanda cha mwani ambazo hupelekea kuusarifu mwani katika mambo mbali mbali ambayo huwapatia mapato wenyekiwanda hicho kiliopo nje ya Mji wa Jakarta Indonesia ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo alitembelea na ujumbe wake akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa nchini hiyo Dkt.Mohamed Jusuf Kalla,[Picha nma Ikulu.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiangalia mwani uliosarifiwa ambao unaendelea na unaendelea kutengenezwa bidhaa mbali mbali ulioshikwa na Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mwani cha PT Aga Swallow Hendrico Soewardjono wakati alipotembelea leo akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) na ujumbe wake wakiangalia unga wa mwani uliosarifiwa baada ya maandalizi ambao tayari kwa kuuzwa kwa matumizi ya mabo mbali mbali katika Nchi nyingi Duniani Rais alijionea wakati akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla,(wa pilikushoto)Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mwani cha PT Aga Swallow Hendrico Soewardjono,
Baadhi ya mashine katika kiwanda cha mwani ambazo hupelekea kuusarifu mwani katika mambo mbali mbali ambayo huwapatia mapato wenyekiwanda hicho kiliopo nje ya Mji wa Jakarta Indonesia ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo alitembelea na ujumbe wake akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa nchini hiyo Dkt.Mohamed Jusuf Kalla
Marobota ya Mwani yakiwa katika kiwanda cha mwani cha PT Aga Swallow ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake walitembelea sehemu hii akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla
Baadhi ya mashine katika kiwanda cha mwani ambazo hupelekea kuusarifu mwani katika mambo mbali mbali ambayo huwapatia mapato wenyekiwanda hicho kiliopo nje ya Mji wa Jakarta Indonesia ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo alitembelea na ujumbe wake akimalizia ziara yake ya mualiko wa Makamo wa Rais wa nchini hiyo Dkt.Mohamed Jusuf Kalla,[Picha nma Ikulu.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...