Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akimkabidhi zawadi Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Ujasiria mali na Ushirika ya Indonesia Bibi Emila Suhaimi alipotembelea Viwanda vidogovidogo vinavyojishuhulisha na ujasiriamali wakati alipokuwa katika ziara Mjini Jakarta ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla,
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Ujasiria mali na Ushirika ya Indonesia Bibi Emila Suhaimi alipotembelea Viwanda vidogovidogo vinavyojishuhulisha na ujasiriamali wakati alipokuwa katika ziara Mjini Jakarta ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein alipokuwa akitembelea Bidha mbali mbali alipotembelea Viwanda vidogo vidogo vinavyojishuhulisha na ujasiriamali wakati alipokuwa katika ziara Mjini Jakarta ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (kushoto) akimuangalia Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Ujasiria mali na Ushirika ya Indonesia Bibi Emila Suhaimi wakati alipotembelea bidha mbali mbali zilizozalishwa na Viwanda vidogovidogo vya wajasiriamali wakati alipokuwa katika ziara Mjini Jakarta ya mualiko wa Makamo wa Rais wa Indonesia Dkt.Mohamed Jusuf Kalla .Picha na Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...