Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi kombe Nahodha wa Timu ya Wavuta Kamba ya Wanawake ya Kizimkazi Dimbani Bi. Nasma Khamis mara baada ya kuibuka washindi dhidi ya timu ya Kizimkazi Mkunguni ikiwa sehemu ya sherehe ya siku ya Wakizimkazi. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) 



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Hassan Khatibu Hassan wakiangalia mkoba wa wanawake uliosanifiwa na ukili waliotembelea maonyenyo ya wanawake na vijana wajasiriamali wakati wa kilele cha sherehe ya Siku ya Wakizimkazi iliyofanyika Kizimkazi Wilaya ya Kusini mkoa wa Kusini Unguja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) 
Kundi la Kusini Star likitumbuiza wimbo maalum wa kujali haki za mtoto haswa wa kike wakati wa kilele cha sherehe ya Siku ya Wakizimkazi. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wananchi wa wilaya ya Kusini kwenye kilele cha sherehe ya Siku ya Wakizimkazi. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) 
Timu wa Wavuta Kamba ya Wanawake ya Kizimkazi Dimbani waangalia mchezo huo baada ya kuishinda timu ya Kizimkazi Mkunguni kwenye mchezo  uliochezwa wakati wa kilele cha sherehe ya Siku ya Wakizimkazi iliyofanyika kizimkazi Wilaya ya Kusini mkoa wa Kusini Unguja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) 
Wakazi wa Kizimkazi wakipimana msuli kwenye mchezo wa kuvuta kamba ikiwa sehemu ya kilele cha sherehe ya Wakizimkazi. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) .HABARI ZAIDI BOFYA HAPA>>>>

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...