Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa Country Club mjini Windhoek kuhudhuria dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob kwa heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na viongozi wenzake wakisimama wakati nyimbo za taifa zikipigwa katika ukumbi wa Country Club mjini Windhoek kuhudhuria dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob kwa heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi wezake katika ukumbi wa Country Club mjini Windhoek kuhudhuria dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob kwa heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018
Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob (wa tatu kushoto) na wageni wake kwenye dhifa ya kitaifa aliyoandaa kwa heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018. Wengine kutoka kushoto ni Rais Edgar Lungu wa Zambia, Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika ya Kusini, Mama Geingob, Katibu Mtendaji wa Sadc Dkt. Sergomena Tax na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Nambia, Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hasna Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Dkt. Augustine Mahiga, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Edwin Paul Mhede (wa pili kushoto), Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Ali Khamis, Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Mhe. Sylvester Ambokile na afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika ukumbi wa Country Club mjini Windhoek baada ya dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob kwa heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiondoka ukumbi wa Country Club mjini Windhoek kuhudhuria dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob kwa heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...