Moto mkubwa umezuka katika majengo ya Shule ya Sekondari St Marry's zamani Mihayo Sekondari iliyopo mkoani Tabora na kuteketeza baadhi ya mali.
Kikosi cha zima moto tayari kimefika eneo la tukio ili kuudhibiti moto huo, ambao kwa kiasi kikubwa umeenea katika baadhi ya majengo ya shule hiyo.
Taarifa zaidi tutaendelea kuwajuza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...