Moto mkubwa umezuka katika majengo ya Shule ya Sekondari St Marry's zamani Mihayo Sekondari iliyopo mkoani Tabora na kuteketeza baadhi ya mali.

Kikosi cha zima moto tayari kimefika eneo la tukio ili kuudhibiti moto huo, ambao kwa kiasi kikubwa umeenea katika baadhi ya majengo ya shule hiyo.

Taarifa zaidi tutaendelea kuwajuza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...