Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 13
Agosti, 2018 amefanya uteuzi wa Mkuu wa Wilaya 1, Wakurugenzi wa Halmashauri za
Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji 41, na amewahamisha vituo vya kazi Mkuu wa
Wilaya 1 na Wakurugenzi wa Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji 19.
Taarifa
iliyotolewa leo tarehe 13 Agosti, 2018 na kutangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John
Kijazi (PICHANI), Ikulu Jijini Dar es Salaam.SOMA ZAIDI HAPA CHINI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...