Mkurugenzi Mkuu wa tume ya Sayansi na Teknolojia , Dkt .Amos Nungu akizungumza na watalaamu wa Maktaba wakati akifungua mafunzo ya Tehama kwa wakutubi  kutoka taasisi mbalimbali nchini
 Kaimu Mkuu wa Chuo cha Biashara cha CBE , Profesa  Frolence  Luoga, akizungumza wakati wa Mkutano wa wakutubi juu ya masuala ya Tehama katika kuhifadhi tafiti zinazofanywa hapa nchini na nje ya nchi kwa ajili ya kusoma.
 Sehemu ya Wakutubi walioshiriki  mafunzo ya kuhifadhi tafiti kwa njia ya Tehama wakisikiliza somo kwa makini
Mkurugenzi Mkuu wa tume ya Sayansi na Teknolojia , Dr .Amos Nungu akiwa katika picha ya Pamoja na wakutubi walioshiriki mafunzo ya Tehama kwa ajili ya kutunza tafiti katika Maktaba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...