Mkurugenzi
Mkuu wa tume ya Sayansi na Teknolojia , Dkt .Amos Nungu akizungumza na
watalaamu wa Maktaba wakati akifungua mafunzo ya Tehama kwa wakutubi
kutoka taasisi mbalimbali nchini
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Biashara cha CBE , Profesa Frolence Luoga, akizungumza wakati wa Mkutano wa wakutubi juu ya masuala ya Tehama katika kuhifadhi tafiti zinazofanywa hapa nchini na nje ya nchi kwa ajili ya kusoma.
Sehemu ya Wakutubi walioshiriki mafunzo ya kuhifadhi tafiti kwa njia ya Tehama wakisikiliza somo kwa makini
Mkurugenzi Mkuu wa tume ya Sayansi na Teknolojia , Dr .Amos Nungu akiwa katika picha ya Pamoja na wakutubi walioshiriki mafunzo ya Tehama kwa ajili ya kutunza tafiti katika Maktaba
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Biashara cha CBE , Profesa Frolence Luoga, akizungumza wakati wa Mkutano wa wakutubi juu ya masuala ya Tehama katika kuhifadhi tafiti zinazofanywa hapa nchini na nje ya nchi kwa ajili ya kusoma.
Sehemu ya Wakutubi walioshiriki mafunzo ya kuhifadhi tafiti kwa njia ya Tehama wakisikiliza somo kwa makini
Mkurugenzi Mkuu wa tume ya Sayansi na Teknolojia , Dr .Amos Nungu akiwa katika picha ya Pamoja na wakutubi walioshiriki mafunzo ya Tehama kwa ajili ya kutunza tafiti katika Maktaba
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...