Mtaalamu wa masuala ya Jinsia, Bajeti kwa Mtazamo wa kijinsia na Haki za Binadamu, Ndg. Gemma Akilimali (aliesimama) akitoa mada kwa Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti katika semina iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
 Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti wakifuatilia mada iliyowasilishwa na Mtaalamu wa masuala ya Jinsia, Bajeti kwa Mtazamo wa kijinsia na Haki za Binadamu, Ndg. Gemma Akilimali (aliesimama) wakati wa semina iliyohusu Bajeti kwa Mtazamo wa Kijinsia leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe. George Simbachawene (kushoto) akizungumza jambo wakati kamati hiyo ikipatiwa semina iliyohusu Bajeti kwa Mtazamo wa Kijinsia, leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mjumbe wa kamati hiyo Mhe. Husna Mwilima. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...