Meli
ya Kwanza iliyobeba Tani 7,250 za Reli za SGR kutoka Japan imetia nanga
katika Bandari ya Dar es Salaam na kazi ya kupakua reli na kupeleka
eneo la ujenzi imeanza jana Septemba 06, 2018 tayari kwa ajili ya
kutandika reli. Meli nyingine ya Reli za SGR inatarajiwa kufika mwezi
Oktoba 2018.

Meli iliyobeba Tani 7,250 za Shehena ya Reli za SGR ikiwa katika Bandari ya Dar es Salaam Septemba 06, 2018.

Kazi ya kupakia Shehena ya Reli za SGR ikiendelea katika Bandari ya Dar es Salaam Septemba 06, 2018.

Tani 7,250 za Shehena ya Reli za SGR zikipakuliwa kutoka kwenye Meli katika Bandari ya Dar es Salaam Septemba 06, 2018.
Kazi ya kupakia Reli kwenye mabehewa ikiendelea katika Bandari ya Dar es Salaam Septemba 06, 2018.

Meli iliyobeba Tani 7,250 za Shehena ya Reli za SGR ikiwa katika Bandari ya Dar es Salaam Septemba 06, 2018.


Kazi ya kupakia Shehena ya Reli za SGR ikiendelea katika Bandari ya Dar es Salaam Septemba 06, 2018.

Tani 7,250 za Shehena ya Reli za SGR zikipakuliwa kutoka kwenye Meli katika Bandari ya Dar es Salaam Septemba 06, 2018.

Kazi ya kupakia Reli kwenye mabehewa ikiendelea katika Bandari ya Dar es Salaam Septemba 06, 2018.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...