Sehemu ya washiriki wa Mkutano wa 28 wa Umoja wa Mataifa Kanda ya Afrika wa Wakuu wa Vyombo vinavyopambana na Dawa za Kulevya, wakimsikiliza Kamishna wa Mamlaka ya Kuzia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini, Rogers William Sianga alipokuwa akizungumza katika mkutano huo, unaofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa BOT, jijini Dar es salaam. Mgeni rasmi katika ufunguzi wa Mkutano huo ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa.
Home
HABARI
Mkutano wa 28 wa Umoja wa Mataifa Kanda ya Afrika wa Wakuu wa Vyombo vinavyopambana na Dawa za Kulevya wafanyika jijini dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...