Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara Habari,Utalii na Mambo ya Kale,Uongozi wa Bodi ya Uwakala wa Uchapishaji wa Serikali na Wafanyakazi wa kiwanda cha Wakala wa Uchapaji ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo katika kuzungumzia mambo mballi mbali ya kiutendaji wa Kazi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara Habari,Utalii na Mambo ya Kale,Uongozi wa Bodi ya Uwakala wa Uchapishaji wa Serikali na Wafanyakazi wa kiwanda cha Wakala wa Uchapaji ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo katika kuzungumzia mambo mballi mbali ya kiutendaji wa Kazi
Viongozi wa Wizara ya Habari,Utalii na Mambo ya Kale,Uongozi wa Bodi ya Uwakala wa Uchapishaji wa Serikali na Wafanyakazi wa kiwanda cha Wakala wa Uchapaji wakiwa katika kikao cha siku moja chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi katika Uongozi wa Wizara Habari,Utalii na Mambo ya Kale,Uongozi wa Bodi ya Uwakala wa Uchapishaji wa Serikali na Wafanyakazi wa kiwanda cha Wakala wa Uchapaji pamoja na Viongozi wengine wakiwa katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
Mfanyakazi wa Kiwanda cha Wakala wa Uchapaji wa Serikali Jamal Khamis Juma alipokuwa akichangia katika kikao cha siku moja cha Uongozi wa Kiwanda hicho kilichofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),katika mkutano ulijumuisha Uongozi wa Wizara Habari,Utalii na Mambo ya Kale,Uongozi wa Bodi ya Uwakala wa Uchapishaji wa Serikali na Wafanyakazi wa kiwanda cha Wakala wa Uchapaji.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati pichani) akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Uchapaji wa Serikali Nd,Perera Ame Silima wakati wa kikao cha Uongozi wa Wizara Habari,Utalii na Mambo ya Kale,Uongozi wa Bodi ya Uwakala wa Uchapishaji wa Serikali na Wafanyakazi wa kiwanda cha Uchapaji ulipokutana na Rais, leo katika Ukumbi wa Ikulu MJini Zanzibar,
Picha na Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...