Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo eneo la Tazara Jijini Dar es Salaam ambapo  spidi ni  Km 40 kwa saa tu kama inavyoonekana katika picha. Pia waenda kwa miguu na waendesha vyombo vya magurudumu mawili kama vile baiskeli na pikipiki na maguta nia marufuku.
 Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam wakati wa usiku.
 Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam wakati wa usiku. Bustani nzuri inaandaliwa sehemu hiyo ya katikati
Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam wakati wa usiku. Bustani nzuri inaandaliwa sehemu hiyo ya katikati

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...