Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo eneo la Tazara Jijini Dar es Salaam ambapo spidi ni Km 40 kwa saa tu kama inavyoonekana katika picha. Pia waenda kwa miguu na waendesha vyombo vya magurudumu mawili kama vile baiskeli na pikipiki na maguta nia marufuku.
Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam wakati wa usiku.
Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam wakati wa usiku. Bustani nzuri inaandaliwa sehemu hiyo ya katikati
Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam wakati wa usiku. Bustani nzuri inaandaliwa sehemu hiyo ya katikati
Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam wakati wa usiku. Bustani nzuri inaandaliwa sehemu hiyo ya katikati
Magari yakipita katika barabara za juu (flyover) iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam wakati wa usiku. Bustani nzuri inaandaliwa sehemu hiyo ya katikati
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...