Sehemu ya madaraja yanayojengwa katika Barabara inayotoka kimara Korogwe kupitia Kibangu mpaka Tabata yakiwa katika hatua za Mwisho za kukamilika hili kupunguza foleni katika barabara ya Morogoro Road ambayo inajengwa kw anjia sita kwa sasa kutoka Ubungo mpaka kibaha hivyo njia hizi za mchepuko zitasaidia kwa kiasi kikubwa kugawa magari yanayokwenda Tabata, Vingunguti mpaka Temeke.
 Upande wa pili wa daraja hilo ukionekana huku gari ikibeba udongo usiohitajika katika pembezoni mwa daraja hilo.
 Mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi wa Barabara ya Kimara Korogwe kupitia Kibangu Mpaka Tabata Kisukulu kwa kiwango cha zege kama ilivyojengwa barabara ya Mwendokasi
Mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi wa Barabara ya Kimara Korogwe kupitia Kibangu Mpaka Tabata Kisukulu kwa kiwango cha zege  kama ilivyojengwa barabara ya Mwendokasi huku upande uliokamilika vyombo vya moto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...