Wafanyabiashara nyama katika  Machinjio ya Vingunguti apima nyama  kabla ya kuuzwa kwa wafanya biashara mbalimbali waliofika katika ambapo kilomoja ya nyama ya Ng`ombe ni shilingi 4500,6000.
Wafanyabiashara nyama katika  Machinjio ya Vingunguti akiinda  nyama  kabla ya kuuzwa kwa wafanya biashara mbalimbali waliofika katika ambapo kilomoja ya nyama ya Ng`ombe ni shilingi 5000,7000.picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)
afanyabiashara wa nyama katika machinjio ya Vingunguti jijini Dar es Salaam wakisubili wateja wanaotoka sehemu mbalimbali ambapo kilomoja ya maini ya ng`ombe ni shilingi 6000, 7000.
Picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...