MAKONDA kweli noma! Ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mkuu ya Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amtengaza hadharani kwamba iwapo msanii Nasseb Abdull a.k.a Diamond asipooa mwaka huu basi atamfunga.

RC Makonda amesema hayo leo wakati anazungumza kwenye sherehe za kumbukizi ya kuzaliwa kwa Diamond ambapo tukio linakwenda sambambamba na msanii huyo kurejesha shukrani kwa wananchi wa Kata ya Tandale.

"Mama Diamond naomba nieleze hapa wazi kuwa mwaka huu kabla ya kuisha lazima Diamond awe ameoa.Asipooa namfunga,"amesema.

Amesisitiza ni lazima msanii huyo akaoa na kutoa mifano kwenye orodha ya watu ambao anataka waoe mwaka huu wapo watatu na mmoja wao ni Diamond.
MAKONDA kweli noma! Ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mkuu ya Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amtengaza hadharani kwamba iwapo msanii Nasseb Abdull a.k.a Diamond asipooa mwaka huu basi atamfunga.

RC Makonda amesema hayo leo wakati anazungumza kwenye sherehe za kumbukizi ya kuzaliwa kwa Diamond ambapo tukio linakwenda sambambamba na msanii huyo kurejesha shukrani kwa wananchi wa Kata ya Tandale.

"Mama Diamond naomba nieleze hapa wazi kuwa mwaka huu kabla ya kuisha lazima Diamond awe ameoa.Asipooa namfunga,"amesema.

Amesisitiza ni lazima msanii huyo akaoa na kutoa mifano kwenye orodha ya watu ambao anataka waoe mwaka huu wapo watatu na mmoja wao ni Diamond.
Msanii wa Kizazi kipya Diamond Platinum akiwapungia mikono mashabiki wake wakati wa sherehe za kumbukizi ya kuzaliwa kwake ambapo tukio linakwenda sambambamba na msanii huyo kurejesha shukrani kwa wananchi wa Kata ya Tandale.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...