Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na Balozi wa Uturiki nchini Mhe. Ali Davutoglu wakati balozi huyo alipomtembelea ofisini kwake Makao Mkauu ya Polisi Dar es Salaam ambapo walijadiliana mambo mbalimbali ya kuimarisha uhusiano. ( Picha na Jeshi la Polisi)
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiongea na Balozi wa Uturiki nchini Mhe. Ali Davutoglu wakati balozi huyo alipomtembelea ofisini kwake Makao Mkauu ya Polisi Dar es Salaam ambapo walijadiliana mambo mbalimbali ya kuimarisha uhusiano.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiongea na Balozi wa Uturiki nchini Mhe. Ali Davutoglu wakati balozi huyo alipomtembelea ofisini kwake Makao Mkauu ya Polisi Dar es Salaam ambapo walijadiliana mambo mbalimbali ya kuimarisha uhusiano. ( Picha na Jeshi la Polisi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...