Anaandika Dixon Busagaga.
IMANI
haba na zile za kishirikina zimeendelea kushika kasi kwa nchi za Afrika
huku watu wenye ulemavu wa Ngozi “Albino” wakiwa waathirika wakubwa
kwa kufanyiwa vitendo vya ukatili kwa kuuawa na kisha kunyofolewa viungo
kwa imani za kishirikina.
Matukio
haya yanatajwa kuendelea kukithiri katika nchi za Afrika ikiwemo
Tanzania, ambapo nchini Zimbabwe ipo imani ya kwamba muathirika wa
ugonjwa wa Ukimwi akishiriki tendo la ndoa na mwenye ulemavu wa ngozi
"Albino " atakuwa amepona .
Lissa
Marange ni miongoni mwa washiriki 25 kutoka nchi zaidi ya nane
walioshiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka
ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika kuongeza nguvu katika mapambano ya
vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye Ualbino.
Pichani wa pilia kulia ni Lissa
Marange ambaye ni miongoni mwa washiriki 25 kutoka nchi zaidi ya nane
walioshiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka
ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika kuongeza nguvu katika mapambano ya
vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye Ualbino.
Baadhi ya washiriki
25 kutoka nchi zaidi ya nane walioshiriki zoezi la kupanda Mlima
Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika
kuongeza nguvu katika mapambano ya vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye
Ualbino.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...