Anaandika Dixon Busagaga.

IMANI haba na zile za kishirikina zimeendelea kushika kasi kwa nchi za Afrika huku  watu wenye ulemavu wa Ngozi “Albino” wakiwa waathirika wakubwa kwa kufanyiwa vitendo vya ukatili kwa kuuawa na kisha kunyofolewa viungo kwa imani za kishirikina.

Matukio haya yanatajwa kuendelea kukithiri katika nchi za Afrika ikiwemo Tanzania, ambapo nchini Zimbabwe ipo imani ya kwamba muathirika wa ugonjwa wa Ukimwi akishiriki tendo la ndoa na mwenye ulemavu wa ngozi "Albino " atakuwa amepona .

Lissa Marange ni miongoni mwa washiriki 25 kutoka nchi zaidi ya nane walioshiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika kuongeza nguvu katika mapambano ya vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye Ualbino.
 Pichani wa pilia kulia ni Lissa Marange ambaye ni miongoni mwa washiriki 25 kutoka nchi zaidi ya nane walioshiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika kuongeza nguvu katika mapambano ya vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye Ualbino.
 Baadhi ya washiriki 25 kutoka nchi zaidi ya nane walioshiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kupeleka ujumbe maalumu kwa viongozi wa Afrika kuongeza nguvu katika mapambano ya vita dhidi ya ukatili kwa watu wenye Ualbino.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...