Waziri waMambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akiwahoji maswali askari polisi wa zamu wa kituo cha Polisi cha Kati, jijini Dodoma, wakati Waziri huyo alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho leo, kwa lengo la kufuatilia maagizo yake aliyoyatoa nchini kuhusu dhamana zitolewe saa 24, kukomesha tabia ya wananchi kubambikizwa kesi pamoja na pikpiki zilizopo katika vituo mbalimbali nchini ziondolewe. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.  
 Waziri waMambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wa pili kushoto) akimuuliza maswali Kamanda wa Usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma, Nuru Selemani (kushoto)  kuhusu uwepo wa pikpiki kituoni hapo wakati alishatoa agizo pikipiki zote zilizopo katika vituo vya polisi nchini ziondolewe. Lugola alifanya ya kushtukiza katika Kituo cha Polisi cha Kati, jijini Dodoma, kwa lengo la kufuatilia maagizo yake aliyoyatoa nchini kuhusu dhamana zitolewe saa 24, kukomesha tabia ya wananchi kubambikizwa kesi pamoja na pikpiki zilizopo katika vituo mbalimbali nchini ziondolewe. Watatu kushoto ni Kamanda wa Polisi Mkoa huo, Gilles Muroto. 

Waziri waMambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara yake ya kushtukiza aliyoifanya Kituo cha Polisi cha Kati, jijini Dodoma leo, kwa lengo la kufuatilia maagizo yake aliyoyatoa nchini kuhusu dhamana zitolewe saa 24, kukomesha tabia ya wananchi kubambikizwa kesi pamoja na pikpiki zilizopo katika vituo mbalimbali nchini ziondolewe. Kushoto ni Gilles Muroto. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...