Waziri waMambo ya Ndani
ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akiwahoji maswali askari polisi wa zamu wa kituo
cha Polisi cha Kati, jijini Dodoma, wakati Waziri huyo alipofanya ziara ya
kushtukiza katika kituo hicho leo, kwa lengo la kufuatilia maagizo yake aliyoyatoa
nchini kuhusu dhamana zitolewe saa 24, kukomesha tabia ya wananchi kubambikizwa
kesi pamoja na pikpiki zilizopo katika vituo mbalimbali nchini ziondolewe. Picha
na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri waMambo ya Ndani
ya Nchi, Kangi Lugola (wa pili kushoto) akimuuliza maswali Kamanda wa Usalama
Barabarani Mkoa wa Dodoma, Nuru Selemani (kushoto) kuhusu uwepo wa pikpiki kituoni hapo wakati
alishatoa agizo pikipiki zote zilizopo katika vituo vya polisi nchini
ziondolewe. Lugola alifanya ya kushtukiza katika Kituo cha Polisi cha Kati,
jijini Dodoma, kwa lengo la kufuatilia maagizo yake aliyoyatoa nchini kuhusu
dhamana zitolewe saa 24, kukomesha tabia ya wananchi kubambikizwa kesi pamoja
na pikpiki zilizopo katika vituo mbalimbali nchini ziondolewe. Watatu kushoto
ni Kamanda wa Polisi Mkoa huo, Gilles Muroto.
Waziri waMambo ya Ndani
ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza
ziara yake ya kushtukiza aliyoifanya Kituo cha Polisi cha Kati, jijini Dodoma
leo, kwa lengo la kufuatilia maagizo yake aliyoyatoa nchini kuhusu dhamana
zitolewe saa 24, kukomesha tabia ya wananchi kubambikizwa kesi pamoja na
pikpiki zilizopo katika vituo mbalimbali nchini ziondolewe. Kushoto ni Gilles
Muroto. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...