Meneja Uendeshaji wa CRDB Microfinance, Raymond Urassa (kulia) akizungumsa na waandhi wa habari wakati wa kuendesha droo kubwa ya mwezi katika kampeni ya Shinda na SimAccount iliyofanyika Oktoba 25, 2018 Mikocheni jijini Dar es salaam. Jumla ya wateja 924 wameweza kujishindia viwango mbalimbali vya fedha, wakiongizwa na Stanford Mdolo kutoka Isaka Mkoani Shinyanga aliyejishindia kitita cha Milioni 10 katika droo hiyo, Wengine ni Godfrey Nzoha kutoka Nzovwe, Mbeya (Milioni 5) pamoja na Jacob Lucas kutoka Mkuranga, Pwani (Milioni 1) . ambapo asilimia kubwa ya washindi hao ni wakulima. Kushoto ni Meneja Masoko wa CRDB Microfinance, Ariel Mkony
Meneja Masoko wa CRDB Microfinance, Ariel Mkony kabla ya kufanyika kwa droo kubwa ya mwezi katika kampeni ya Shinda na SimAccount iliyofanyika Oktoba 25, 2018 Mikocheni jijini Dar es salaam. Katikati ni Meneja Uendeshaji wa CRDB Microfinance, Raymond Urassa na kulia ni Balozi wa Kampeni hiyo, Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Zuwena Mohamed (Shilolole).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...