Mkuu wa Mkoa Wa Mwanza, Mhe. John Mongella akizungumza na waandishi wa habari leo kufungua
rasmi pazia la Tigo Fiesta Vibe Kama Lote litakalofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mkoani
humo. Wengine pichani kushoto ni Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa,Uthman Madati na Msanii Nikki
Wa Pili.
Mkuu wa Hifadhi ya Kisiwa cha Saanane kilichopo mkoani Mwanza, Beatrice Kessy akizungumza na
waandishi wa habari na Wasanii watakaopanda jukwaa la Tigo Fiesta kesho jumamosi kuhusu umuhimu
wa watalii na watanzania kutembelea kisiwa hicho.
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Uthman Madati akizungumza na Waandishi wa habari kwenye
mkutano wa uzinduzi wa Tamasha la Tigo Fiesta Vibe Kama Lote mkoani Mwanza. Kushoto kwake ni
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella, Msanii Nikki wa Pili na Meneja wa Masoko Tigo Mkoa
wa Mwanza, Kassimu Azziz.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...