Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed Salim, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu,Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga, Balozi wa China Wang Ke pamoja na viongozi mbalimbali wakikata kike katika maadhimisho ya miaka 50 kati ya Tanzania na China katika Sekta ya Afya iliyofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya kati ya Tanzania na China iliyofanyika katika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Balozi wa China nchini Tanzania Wang Ke akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya kuhusiana na China kujihusiha katika masuala ya afya pamoja na ujenzi wa Hospitali uliofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga akizungumza  katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya na ushirikiano kati ya Tanzania  na China katika masualaya kidiplomasia , sherehe hizo zimefanyika katika viwanja vya Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi  Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Profesa Mohamed Janabi akizungumza kuhusiana na mchango wa China katika Taasisi hiyo katika maadhimisho ya miaka 50 kati ya Tanzania na China katika Sekta ya Afya yaliyofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA>>>>

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...