Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(katikati) akiangalia vitalu vya miche
ya miti aina ya misindano(pines) alipowasili katika Gereza la Mgagao, Wilaya ya Kilolo leo
Novemba 10, 2018. Kushoto kwake ni Mkuu wa Gereza hilo, ASP. Peter Sahani(kulia) ni Mkuu
wa Magereza Mkoani Iringa, ACP. Hassard Mkwanda.
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(wa kwanza kulia) akikagua moja ya
shamba la miti aina ya misindano alipofanya ziara ya kikazi leo Novemba 10, 2018 katika
Gereza la Mgagao, Wilayani Kilolo.
Askari wa Gereza Mgagao, Koplo Stephen akieleza changamoto mbalimbali za kiutendaji
mbele ya Kamishna Jenerali wa Magereza alipotembelea gereza hilo leo Novemba 10, 2018.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...