Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(katikati) akiangalia vitalu vya miche ya miti aina ya misindano(pines) alipowasili katika Gereza la Mgagao, Wilaya ya Kilolo leo Novemba 10, 2018. Kushoto kwake ni Mkuu wa Gereza hilo, ASP. Peter Sahani(kulia) ni Mkuu wa Magereza Mkoani Iringa, ACP. Hassard Mkwanda.
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(wa kwanza kulia) akikagua moja ya shamba la miti aina ya misindano alipofanya ziara ya kikazi leo Novemba 10, 2018 katika Gereza la Mgagao, Wilayani Kilolo.
Askari wa Gereza Mgagao, Koplo Stephen akieleza changamoto mbalimbali za kiutendaji mbele ya Kamishna Jenerali wa Magereza alipotembelea gereza hilo leo Novemba 10, 2018.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...