Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza wakati akizundua Kikundi cha Wabunge cha Malengo ya Maendeleo Endelevu (Parliamentary Group on Sustainable Development Goals-SDGs) Jijini Dodoma.
Katibu wa Kikundi cha Wabuge wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (Parliamentary Group on Sustainable Development Goals-SDGs) Mhe. Salome Makamba akizungumza wakati wa uzinduzi wa kikundi hicho Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kikundi cha Wabuge wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (Parliamentary Group on Sustainable Development Goals-SDGs) Mhe. Augustine Vuma akizungumza wakati wa uzinduzi wa kikundi hicho Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge katika picha ya pamoja na Kikundi cha Wabunge kinachojishughulisha na Malengo ya Maendeleo Endelevu (Parliamentary Group on Sustainable Development Goals-SDGs) Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...