WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, akisikiliza maelezo kutoka kwa Ofisa Masoko wa kampuni ya Chumi 'Neel Salt', Vivian Stephan, wakati alipofika Uwanja wa Sabasaba Picha ya Ndege Mkoa wa Pwani jana kwa ajili ya kufunga maonesho ya Wiki ya Viwanda.
 WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, akisikiliza maelezo kutoka kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi, Cyprian Luhemeja, wakati alipofika Uwanja wa Sabasaba Picha ya Ndege Mkoa wa Pwani jana kwa ajili ya kufunga maonesho ya Wiki ya Viwanda
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Utawala wa kampuni ya Terra inayobangua Korosho, Peter Christopher, wakati alipofika Uwanja wa Sabasaba Picha ya Ndege Mkoa wa Pwani jana kwa ajili ya kufunga maonesho ya Wiki ya Viwanda. (Picha na Muhidin Sufiani)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...