Kamishna wa Maadili Jaji Harold Nsekela katikati (mwenye miwani), Katibu Ukuzaji wa Maadili toka Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa Umma Waziri Kipacha na Katibu Msaidizi Kanda ya Pwani Getrude Cyliacua wakitoa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika uandishi wa insha wakati wa hafla fupi ya kutoa zawadi kwa wanafunzi wa klabu za Maadili walioshinda katika uandishi iwa insha na uchoraji wa katuni. Hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa IEC, Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine, Morogoro.

 Wanafunzi wa shule ya Sekondari Morogoro Noela Conradi (Kushoto) na Zainabu Hamisi (kulia) wakijadili mada ya mgongano wa maslahi kwa viongozi wa umma mbele ya Kamishna wa Maadili Jaji (Mst) Harold Nsekela (aliyekaa mwenye miwani) wakati wa hafla fupi ya kutoa zawadi kwa wanafunzi wa klabu za Maadili walioshinda katika uandishi wa insha na uchoraji wa katuni. 


Kulia kwake ni Katibu Msaidizi Kanda ya Pwani Bi. Getrude Cyliacua na kushono ni Katibu Ukuzaji wa Maadili toka Sekretarieti iya Maadili ya Viongozi wa Umma Waziri Kipacha. Hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa IEC, Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine, Morogoro.
 Kamishna wa Maadili Jaji Harold Nsekela katikati (mwenye miwani), Katibu Ukuzaji wa Maadili toka Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa Umma Waziri Kipacha na Katibu Msaidizi Kanda ya Pwani Getrude Cyliacua wakiimba wimbo wa Tanzania nakupenda wakati wa hafla fupi ya kutoa zawadi kwa wanafunzi wa klabu za Maadili walioshinda katika uandishi iwa insha na uchoraji wa katuni. Hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa IEC, Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine, Morogoro.


 Wanafunzi wa Klabu za maadili wa manispaa ya Morogoro ya wakiimba wimbo wa Tanzania nakupenda wakati wa hafla fupi ya kutoa zawadi kwa wanafunzi wa klabu za Maadili walioshinda katika uandishi wa insha na uchoraji wa katuni. Hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa IEC, Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine, Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...