Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia mpunga
uliovunwa tayari wa Bw. Emmanuel Paschal(kushoto) wakati alipotembelea
Skimu ya Umwagiliaji ya Lower Moshi katika eneo la Mabogini ikiwa sehemu
ya ziara yake ya kukagua na kuhimiza shughuli za kimaendeleo. (Picha na
Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wakulima wa
mpunga alipotembelea Skimu ya Umwagiliaji ya Lower Moshi katika eneo la
Mabogini ikiwa sehemu ya ziara yake ya kukagua na kuhimiza shughuli za
kimaendeleo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia aina mbali
mbali za kahawa wakati wa maandalizi ya kujaribiwa kwenye maabara ya
shamba ya Kahawa la Kilimanjaro Plantation Ltd. (Picha na Ofisi ya
Makamu wa Rais)Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akiangalia aina mbali mbali za kahawa wakati wa
maandalizi ya kujaribiwa kwenye maabara ya shamba ya Kahawa la
Kilimanjaro Plantation Ltd.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wananchi wa Uru Kusini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Polisi Uru. Makamu wa Rais yupo kwenye ziara ya kukagua na kuhamasisha shughuli za kimaendeleo.
Sehemu ya Wananchi waliohudhuria
mkutano wa hadhara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Polisi Uru Kusini.Makamu wa
Rais yupo mkoani Kilimanjaro katika ziara ya kukagua na kuhamasisha
shughuli za Maendeleo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...