--
Mtaalamu kutoka HDIF, Simon Mtabazi akizungumza na Vijana wa Inspire Project kuhusu umuhimu wa 7 Digital Principal kwa ajili ya ugunduzi wa mambo mbalimbali ya ubunifu kwa jamii ya sasa
Meneja mradi wa Inspire , Agnes Mwangongoka akizungumza na Wataalamu ambao watashiriki katika Boot Camp ya Wanafunzi wa Sekondari itakayofanyika kwa siku nne jijini Dar es Salaam kwa ajili ya wanafunzi wa masuala ya Sayansi.
Mmoja wa Wataalamu wa watakaotoa Mafunzo katika Bootcamp, Dr .Michael Magoti akieleza namna watakavyoweza kuwasaidia Wanafunzi kuelewa kuhusu Masuala mbalimbali ya kisayansi katika Kilimo.
Mtaalamu wa Masuala ya Uhandisi wa Maji akieleza namna atakavyotumia uzoefu wake kuwafundisha Wanafunzi watakao shiriki BootCamp ya Inspire
Jopo la Wataalmu kutoka sehemu Mbalimbali watakaoshiriki BootCamp kwa ajili ya kuwanoa wanafunzi  masuala ya kisayansi Jijini Dar es Salaam(Picha na Humphrey Shao wa MMG)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...