
Hospitali ya Halmashauri ya Mji Mbinga Mkoni Ruvuma inakabiliwa na changamoto kubwa nne zinazopelekea kushindwa kutoa matibabu bora kwa wananchi. Akizungumza na Ruvuma TV on line Mganga Mfawidhi wa Hospital hiyo Dkt Nicholas Kapunga , amesema kwa sasa tiba wanazotoa haziwafikii walengwa ipasavyo hivyo anaiomba serikali isaidie kutatua changamoto hizo ili waweze kutoa huduma za matibabu bora kwa walengwa. Kwa undani wa habari hii tizama video yake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...