
Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi akiongoza Kikao cha Kamati ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria na Taasisi zake kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma. Kulia kwa Waziri ni Katibu Mkuu Prof. Sifuni Mchome na kushoto kwa Waziri ni Naibu Katibu Mkuu Ndg. Amon Mpanju.
Sehemu ya wajumbe wa kikao cha Kamati ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria na Taasisi zake.
Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi akiongoza Kikao cha Kamati ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria na Taasisi zake kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Wizara jijini Dodoma. Kulia kwa Waziri ni Katibu Mkuu Prof. Sifuni Mchome na kushoto kwa Waziri ni Naibu Katibu Mkuu Ndg. Amon Mpanju.
Sehemu ya wajumbe wa kikao cha Kamati ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria na Taasisi zake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...