East Afrika Commercial and Logistics Center ni kituo cha biashara kinajengwa eneo la Ubungo bus terninal kuanzia Januari 19 hadi Juni 20, 2019. Kutakuwa na maduka yapatayo 2600 - 2800 ambayo yatauzwa kuanzia USD 50'000 hadi 100'000 na unakuwa na umiliki wa miaka30. Biashara za aina  zote zitapatikana. huduma za benk na ofisi za serikali TRA. uhamiaji n.k.yaani a ONE STOP CENTER. Kwa maelezo fika Ubungo plaza ground floor at main entrance utakuta model ya jengo na ofisi za EA Comercial and  Logistics Center
...


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...